Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Atawahukumu kwa haki* watu wa hali ya chini,

      Na kwa unyoofu atakaripia kwa ajili ya wapole wa dunia.

      Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake+

      Na kuwaua waovu kwa pumzi* ya midomo yake.+

  • Yeremia 33:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siku hizo na wakati huo nitamchipushia Daudi chipukizi adilifu,*+ naye atatenda haki na uadilifu katika nchi.+

  • Waebrania 1:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini kumhusu Mwana, anasema: “Mungu ni kiti chako cha ufalme+ milele na milele, na fimbo ya Ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.* 9 Ulipenda uadilifu, nawe ukachukia uasi sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki