Isaya 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na tawi+ litakua kutoka kwenye kisiki cha Yese,+Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda. Isaya 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Atawahukumu kwa haki* watu wa hali ya chini,Na kwa unyoofu atakaripia kwa ajili ya wapole wa dunia. Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake+Na kuwaua waovu kwa pumzi* ya midomo yake.+ Yeremia 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+ Waebrania 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ulipenda uadilifu, nawe ukachukia uasi sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+
11 Na tawi+ litakua kutoka kwenye kisiki cha Yese,+Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda.
4 Atawahukumu kwa haki* watu wa hali ya chini,Na kwa unyoofu atakaripia kwa ajili ya wapole wa dunia. Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake+Na kuwaua waovu kwa pumzi* ya midomo yake.+
5 “Tazameni! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nitakapomwinulia Daudi chipukizi adilifu.*+ Na mfalme atatawala+ na kuwa na ufahamu na kutekeleza haki na uadilifu katika nchi.+
9 Ulipenda uadilifu, nawe ukachukia uasi sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+