2 Wathesalonike 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo, kwa kweli, yule mwasi sheria atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamwangamiza kwa roho ya kinywa chake+ na kumharibu kupitia ufunuo+ wa kuwapo kwake.
8 Ndipo, kwa kweli, yule mwasi sheria atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamwangamiza kwa roho ya kinywa chake+ na kumharibu kupitia ufunuo+ wa kuwapo kwake.