-
1 Timotheo 6:13-15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Mbele za Mungu, anayevihifadhi vitu vyote hai, na Kristo Yesu, ambaye akiwa shahidi alitoa tangazo zuri la hadharani mbele ya Pontio Pilato,+ ninakuagiza 14 uishike amri katika njia safi na isiyolaumika mpaka wakati wa ufunuo wa Bwana wetu Yesu Kristo,+ 15 ambao yule Mtawala Mkuu wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake zilizowekwa. Yeye ndiye Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana,+
-