Yohana 5:28, 29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Msishangazwe na jambo hili, kwa maana saa inakuja ambayo wote walio katika makaburi ya ukumbusho wataisikia sauti yake+ 29 na kutoka, wale waliotenda mema kwenye ufufuo wa uzima, na wale waliozoea kutenda maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+ Matendo 10:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Pia, alituamuru tuwahubirie watu na kutoa ushahidi kamili+ kwamba yeye ndiye aliyeagizwa na Mungu kuwa mwamuzi wa walio hai na wafu.+
28 Msishangazwe na jambo hili, kwa maana saa inakuja ambayo wote walio katika makaburi ya ukumbusho wataisikia sauti yake+ 29 na kutoka, wale waliotenda mema kwenye ufufuo wa uzima, na wale waliozoea kutenda maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+
42 Pia, alituamuru tuwahubirie watu na kutoa ushahidi kamili+ kwamba yeye ndiye aliyeagizwa na Mungu kuwa mwamuzi wa walio hai na wafu.+