Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa Yesu akasimama mbele ya gavana, naye gavana akamuuliza: “Je, wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu: “Wewe mwenyewe umesema.”+

  • Yohana 18:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Basi Pilato akaingia tena ndani ya makao ya gavana, akamwita Yesu na kumuuliza: “Je, wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?”+

  • Yohana 18:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Yesu akajibu:+ “Ufalme wangu si sehemu ya ulimwengu huu.+ Kama Ufalme wangu ungekuwa sehemu ya ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi.+ Lakini, kama ilivyo, Ufalme wangu hautoki katika chanzo hiki.”

  • Yohana 19:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Pilato akamuuliza: “Unakataa kuzungumza nami? Je, hujui kwamba nina mamlaka ya kukufungua na mamlaka ya kukuua?”* 11 Yesu akamjibu: “Wewe hungekuwa na mamlaka yoyote juu yangu kama hungepewa kutoka juu. Ndiyo maana mtu aliyenitia mikononi mwako ana dhambi kubwa zaidi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki