Mathayo 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sasa Yesu akasimama mbele ya gavana, naye gavana akamuuliza: “Je, wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu: “Wewe mwenyewe umesema.”+ Yohana 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi wakachukua matawi ya mitende na kutoka nje kwenda kumlaki, nao wakaanza kusema kwa sauti kubwa: “Tunaomba umwokoe! Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova,*+ Mfalme wa Israeli!”+
11 Sasa Yesu akasimama mbele ya gavana, naye gavana akamuuliza: “Je, wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu: “Wewe mwenyewe umesema.”+
13 Basi wakachukua matawi ya mitende na kutoka nje kwenda kumlaki, nao wakaanza kusema kwa sauti kubwa: “Tunaomba umwokoe! Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova,*+ Mfalme wa Israeli!”+