1 Timotheo 6:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 uishike amri katika njia safi na isiyolaumika mpaka wakati wa ufunuo wa Bwana wetu Yesu Kristo,+ 15 ambao yule Mtawala Mkuu wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake zilizowekwa. Yeye ndiye Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana,+ 1 Petro 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na mchungaji mkuu+ atakapofunuliwa, mtapokea taji la utukufu lisilofifia.+
14 uishike amri katika njia safi na isiyolaumika mpaka wakati wa ufunuo wa Bwana wetu Yesu Kristo,+ 15 ambao yule Mtawala Mkuu wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake zilizowekwa. Yeye ndiye Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana,+