Ufunuo 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao watapigana na Mwanakondoo,+ lakini kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme,+ Mwanakondoo atawashinda.+ Pia, wale walio pamoja naye walioitwa na waliochaguliwa na walio waaminifu watawashinda.”+ Ufunuo 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kwenye vazi lake la nje, ndiyo, kwenye paja lake, ana jina lililoandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+
14 Nao watapigana na Mwanakondoo,+ lakini kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme,+ Mwanakondoo atawashinda.+ Pia, wale walio pamoja naye walioitwa na waliochaguliwa na walio waaminifu watawashinda.”+
16 Na kwenye vazi lake la nje, ndiyo, kwenye paja lake, ana jina lililoandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+