Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yesu akakaribia na kuwaambia: “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.+

  • Wafilipi 2:9-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa sababu hiyo, Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu kuliko kila jina lingine,+ 10 ili katika jina la Yesu kila goti lipigwe—la wale walio mbinguni na wale walio duniani na wale walio chini ya ardhi+— 11 na kila ulimi ukiri waziwazi kwamba Yesu Kristo ni Bwana+ kwa utukufu wa Mungu Baba.

  • 1 Timotheo 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 ambao yule Mtawala Mkuu wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake zilizowekwa. Yeye ndiye Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana,+

  • Ufunuo 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao watapigana na Mwanakondoo,+ lakini kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme,+ Mwanakondoo atawashinda.+ Pia, wale walio pamoja naye walioitwa na waliochaguliwa na walio waaminifu watawashinda.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki