15 Malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikasikika mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa Ufalme wa Bwana wetu+ na wa Kristo wake,+ naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+
“Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu na Ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake, kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+