Zaburi 45:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mungu ni kiti chako cha ufalme milele na milele;+Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*+ 7 Ulipenda uadilifu+ na kuchukia uovu.+ Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia+ kuliko wenzako.
6 Mungu ni kiti chako cha ufalme milele na milele;+Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*+ 7 Ulipenda uadilifu+ na kuchukia uovu.+ Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia+ kuliko wenzako.