Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na tawi+ litakua kutoka kwenye kisiki cha Yese,+

      Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda.

  • Isaya 53:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Atapanda kama tawi+ mbele yake,* kama mzizi kutoka katika nchi iliyokauka.

      Hana umbo la kifahari, wala utukufu wowote;+

      Na tunapomwona, sura yake haituvutii.*

  • Yeremia 33:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siku hizo na wakati huo nitamchipushia Daudi chipukizi adilifu,*+ naye atatenda haki na uadilifu katika nchi.+ 16 Siku hizo Yuda ataokolewa+ na Yerusalemu litakaa katika usalama.+ Naye ataitwa: Yehova Ni Uadilifu Wetu.’”+

  • Zekaria 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Tafadhali sikiliza, Ee Kuhani Mkuu Yoshua, wewe pamoja na wenzako wanaoketi mbele yako, kwa maana wanaume hawa ni ishara; tazama! ninamleta mtumishi wangu+ anayeitwa Chipukizi!+

  • Mathayo 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Akaenda kuishi katika jiji liitwalo Nazareti,+ ili kutimiza maneno haya yaliyosemwa kupitia manabii: “Ataitwa Mnazareti.”*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki