“‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Ndiye huyu mwanamume anayeitwa Chipukizi.+ Atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, naye atalijenga hekalu la Yehova.+
16 “‘Mimi, Yesu, nilimtuma malaika wangu kuwatolea ninyi ushahidi kuhusu mambo haya kwa ajili ya makutaniko. Mimi ndiye mzizi na uzao wa Daudi+ na nyota nyangavu ya asubuhi.’”+