Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Atapanda kama tawi+ mbele yake,* kama mzizi kutoka katika nchi iliyokauka.

      Hana umbo la kifahari, wala utukufu wowote;+

      Na tunapomwona, sura yake haituvutii.*

  • Zekaria 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nawe umwambie,

      “‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Ndiye huyu mwanamume anayeitwa Chipukizi.+ Atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, naye atalijenga hekalu la Yehova.+

  • Ufunuo 22:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Mimi, Yesu, nilimtuma malaika wangu kuwatolea ninyi ushahidi kuhusu mambo haya kwa ajili ya makutaniko. Mimi ndiye mzizi na uzao wa Daudi+ na nyota nyangavu ya asubuhi.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki