Isaya 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na tawi+ litakua kutoka kwenye kisiki cha Yese,+Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda. Zekaria 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “‘Tafadhali sikiliza, Ee Kuhani Mkuu Yoshua, wewe pamoja na wenzako wanaoketi mbele yako, kwa maana wanaume hawa ni ishara; tazama! ninamleta mtumishi wangu+ anayeitwa Chipukizi!+
11 Na tawi+ litakua kutoka kwenye kisiki cha Yese,+Na chipukizi+ kutoka kwenye mizizi yake litazaa matunda.
8 “‘Tafadhali sikiliza, Ee Kuhani Mkuu Yoshua, wewe pamoja na wenzako wanaoketi mbele yako, kwa maana wanaume hawa ni ishara; tazama! ninamleta mtumishi wangu+ anayeitwa Chipukizi!+