-
Luka 19:37, 38Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
37 Alipokaribia tu barabara ya kushuka Mlima wa Mizeituni umati wote wa wanafunzi ukaanza kushangilia na kumsifu Mungu kwa sauti kubwa kwa sababu ya matendo yote yenye nguvu ambayo walikuwa wameona, 38 na kusema: “Amebarikiwa yule anayekuja akiwa Mfalme katika jina la Yehova!* Amani mbinguni, na utukufu katika vilele vilivyo juu!”+
-