Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 45:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mungu ni kiti chako cha ufalme milele na milele;+

      Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.*+

  • Ezekieli 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nitaliharibu, nitaliharibu, nitaliharibu. Nalo halitakuwa la mtu yeyote mpaka yule aliye na haki ya kisheria atakapokuja,+ nami nitampa yeye.’+

  • Danieli 7:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Nikaendelea kuangalia katika maono ya usiku, na tazama! mtu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa akija na mawingu ya mbinguni; naye akaja mbele za Mzee wa Siku,+ nao wakamleta karibu Naye. 14 Naye akapewa utawala,+ heshima,+ na ufalme, ili watu wa makabila, mataifa, na lugha zote wamtumikie.+ Utawala wake ni utawala wa milele ambao hautapitilia mbali, na ufalme wake hautaangamizwa.+

  • Ufunuo 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kwenye vazi lake la nje, ndiyo, kwenye paja lake, ana jina lililoandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki