Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ndipo ishara ya Mwana wa binadamu itakapoonekana mbinguni, na makabila yote ya dunia yatajipigapiga kwa huzuni,+ nayo yatamwona Mwana wa binadamu+ akija juu ya mawingu ya mbinguni akiwa na nguvu na utukufu mwingi.+

  • Luka 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ndipo watakapomwona Mwana wa binadamu+ akija katika mawingu akiwa na nguvu na utukufu mwingi.+

  • Yohana 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Isitoshe, hakuna mtu aliyepanda kwenda mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ yaani, Mwana wa binadamu.

  • Matendo 7:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 naye akasema: “Tazama! Ninaziona mbingu zimefunguka na Mwana wa binadamu+ akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume wa Mungu.”+

  • Ufunuo 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kisha nikaona, na tazama! wingu jeupe, na mtu fulani kama mwana wa binadamu alikuwa ameketi juu ya wingu hilo,+ akiwa na taji la dhahabu juu ya kichwa chake na mundu mkali mkononi mwake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki