23 Akaendelea kuwaambia: “Ninyi mnatoka katika makao ya chini; mimi ninatoka katika makao ya juu.+ Ninyi mnatoka katika ulimwengu huu; mimi sitoki katika ulimwengu huu.
42 Yesu akawaambia: “Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda,+ kwa maana nilitoka kwa Mungu nami nipo hapa. Sikuja kwa uamuzi wangu mwenyewe, bali Yeye ndiye aliyenituma.+