Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Akisema: “Mimi mwenyewe nimemweka mfalme wangu+

      Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”

  • Zaburi 110:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu:

      “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+

      Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+

       2 Yehova atainyoosha fimbo ya ufalme ya nguvu zako kutoka Sayuni, akisema:

      “Nenda ukitiisha kati ya maadui wako.”+

  • Mathayo 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yesu akakaribia na kuwaambia: “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.+

  • 1 Wakorintho 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana lazima atawale akiwa mfalme mpaka Mungu atakapoweka maadui wote chini ya miguu yake.+

  • Waefeso 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Alivitiisha pia vitu vyote chini ya miguu yake+ na kumfanya kuwa kichwa juu ya vitu vyote kuhusiana na kutaniko,+

  • Ufunuo 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yule atakayeshinda+ nitampa ruhusa ya kuketi pamoja nami kwenye kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilivyoshinda na kuketi+ pamoja na Baba yangu kwenye kiti chake cha ufalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki