110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu:
“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+
Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+
2 Yehova atainyoosha fimbo ya ufalme ya nguvu zako kutoka Sayuni, akisema:
“Nenda ukitiisha kati ya maadui wako.”+