43 Akawauliza: “Basi, kwa nini Daudi akiongozwa na roho+ anamwita Bwana, akisema, 44 ‘Yehova* alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume mpaka niwaweke maadui wako chini ya miguu yako”’?+
36 Kupitia roho takatifu+ Daudi mwenyewe alisema, ‘Yehova* alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume mpaka niwaweke maadui wako chini ya miguu yako.”’+
42 Kwa maana Daudi mwenyewe anasema katika kitabu cha Zaburi, ‘Yehova* alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume 43 mpaka niwaweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”’+
34 Kwa kuwa Daudi hakupanda mbinguni, bali yeye mwenyewe anasema, ‘Yehova* alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume 35 mpaka niwaweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”’+
3 Yeye ndiye mng’ao wa utukufu wa Mungu+ na mfano kamili wa utu wake,+ naye hutegemeza vitu vyote kwa neno la nguvu zake. Na baada ya kuzitakasa dhambi zetu,+ aliketi kwenye mkono wa kuume wa Ukuu huko juu.+
12 Lakini mtu huyu alitoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi daima na kuketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+13 tangu wakati huo akisubiri mpaka adui zake wawekwe kuwa kiti cha miguu yake.+