Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 110:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu:

      “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+

      Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+

  • Luka 20:42, 43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Kwa maana Daudi mwenyewe anasema katika kitabu cha Zaburi, ‘Yehova* alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume 43 mpaka niwaweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”’+

  • 1 Wakorintho 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana lazima atawale akiwa mfalme mpaka Mungu atakapoweka maadui wote chini ya miguu yake.+

  • Waebrania 10:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini mtu huyu alitoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi daima na kuketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+ 13 tangu wakati huo akisubiri mpaka adui zake wawekwe kuwa kiti cha miguu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki