Zaburi 110:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Matendo 2:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mungu alimfufua, Yesu huyu, na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo.+ 33 Kwa hiyo, kwa sababu aliinuliwa kwenye mkono wa kuume wa Mungu+ na kupokea roho takatifu iliyoahidiwa kutoka kwa Baba,+ amemimina hiki mnachoona na kusikia. Matendo 7:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Lakini Stefano akiwa amejaa roho takatifu, akatazama mbinguni, akaona utukufu wa Mungu na wa Yesu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+
110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+
32 Mungu alimfufua, Yesu huyu, na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo.+ 33 Kwa hiyo, kwa sababu aliinuliwa kwenye mkono wa kuume wa Mungu+ na kupokea roho takatifu iliyoahidiwa kutoka kwa Baba,+ amemimina hiki mnachoona na kusikia.
55 Lakini Stefano akiwa amejaa roho takatifu, akatazama mbinguni, akaona utukufu wa Mungu na wa Yesu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+