Zaburi 110:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Matendo 2:34, 35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa kuwa Daudi hakupanda mbinguni, bali yeye mwenyewe anasema, ‘Yehova* alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume 35 mpaka niwaweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”’+ 1 Wakorintho 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana lazima atawale akiwa mfalme mpaka Mungu atakapoweka maadui wote chini ya miguu yake.+ Waebrania 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini amewahi kumwambia malaika yupi hivi: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume mpaka niwaweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako”?+
110 Yehova alimtangazia hivi Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka nitakapowaweka maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+
34 Kwa kuwa Daudi hakupanda mbinguni, bali yeye mwenyewe anasema, ‘Yehova* alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume 35 mpaka niwaweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”’+
13 Lakini amewahi kumwambia malaika yupi hivi: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume mpaka niwaweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako”?+