Mathayo 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yesu akakaribia na kuwaambia: “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.+ Waefeso 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwa sababu mume ni kichwa cha mke wake+ kama vile Kristo alivyo kichwa cha kutaniko,+ yeye akiwa mwokozi wa mwili huu. Wakolosai 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 naye ndiye kichwa cha mwili, kutaniko.+ Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,+ ili awe wa kwanza katika mambo yote;
23 kwa sababu mume ni kichwa cha mke wake+ kama vile Kristo alivyo kichwa cha kutaniko,+ yeye akiwa mwokozi wa mwili huu.
18 naye ndiye kichwa cha mwili, kutaniko.+ Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,+ ili awe wa kwanza katika mambo yote;