1 Wakorintho 15:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini kila mmoja kwa mpangilio wake unaofaa: Kristo aliye matunda ya kwanza,+ baadaye wale walio wa Kristo wakati wa kuwapo kwake.+ Ufunuo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+ Yeye anayetupenda+ na aliyetuweka huru kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+—
23 Lakini kila mmoja kwa mpangilio wake unaofaa: Kristo aliye matunda ya kwanza,+ baadaye wale walio wa Kristo wakati wa kuwapo kwake.+
5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+ Yeye anayetupenda+ na aliyetuweka huru kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+—