Zaburi 89:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nami nitamfanya kuwa mzaliwa wa kwanza,+Aliye juu zaidi kati ya wafalme wa dunia.+ 1 Timotheo 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ambao yule Mtawala Mkuu wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake zilizowekwa. Yeye ndiye Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana,+ Ufunuo 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kwenye vazi lake la nje, ndiyo, kwenye paja lake, ana jina lililoandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+
15 ambao yule Mtawala Mkuu wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake zilizowekwa. Yeye ndiye Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana,+
16 Na kwenye vazi lake la nje, ndiyo, kwenye paja lake, ana jina lililoandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+