1 Timotheo 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ambao yule Mtawala Mkuu wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake zilizowekwa. Yeye ndiye Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana,+ Ufunuo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+ Yeye anayetupenda+ na aliyetuweka huru kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+— Ufunuo 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kwenye vazi lake la nje, ndiyo, kwenye paja lake, ana jina lililoandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+
15 ambao yule Mtawala Mkuu wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake zilizowekwa. Yeye ndiye Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana,+
5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+ Yeye anayetupenda+ na aliyetuweka huru kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+—
16 Na kwenye vazi lake la nje, ndiyo, kwenye paja lake, ana jina lililoandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+