Zaburi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Acheni nitangaze agizo la Yehova;Aliniambia: “Wewe ni mwanangu;+Leo nimekuwa baba yako.+ Waebrania 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa mfano, Mungu aliwahi kumwambia nani kati ya malaika: “Wewe ni mwanangu; leo nimekuwa baba yako”?+ Na tena: “Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu”?+
5 Kwa mfano, Mungu aliwahi kumwambia nani kati ya malaika: “Wewe ni mwanangu; leo nimekuwa baba yako”?+ Na tena: “Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu”?+