16 Baada ya kubatizwa, mara moja Yesu akainuka kutoka katika maji; na tazama! mbingu zikafunguliwa,+ naye akaona roho ya Mungu ikishuka kama njiwa, ikija juu yake.+ 17 Tazama! Pia, sauti ikasikika kutoka mbinguni+ ikisema: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa, ambaye nimemkubali.”+