Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 3:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Baada ya kubatizwa, mara moja Yesu akainuka kutoka katika maji; na tazama! mbingu zikafunguliwa,+ naye akaona roho ya Mungu ikishuka kama njiwa, ikija juu yake.+ 17 Tazama! Pia, sauti ikasikika kutoka mbinguni+ ikisema: “Huyu ni Mwanangu,+ mpendwa, ambaye nimemkubali.”+

  • Marko 1:9-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Siku hizo Yesu alikuja kutoka Nazareti ya Galilaya, na Yohana akambatiza katika Yordani.+ 10 Mara tu alipotoka katika maji akaona mbingu zikifunguka na roho takatifu ikishuka juu yake kama njiwa.+ 11 Sauti ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Wewe ni Mwanangu, mpendwa; nimekukubali.”+

  • Waroma 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 lakini ambaye kwa nguvu alitangazwa kuwa Mwana wa Mungu+ kulingana na roho ya utakatifu kupitia ufufuo kutoka kwa wafu+—ndiyo, Yesu Kristo Bwana wetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki