Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Na roho ya Yehova itatua juu yake,+

      Roho ya hekima+ na ya uelewaji,

      Roho ya shauri na ya nguvu,+

      Roho ya ujuzi na ya kumwogopa Yehova.

  • Marko 1:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mara tu alipotoka katika maji akaona mbingu zikifunguka na roho takatifu ikishuka juu yake kama njiwa.+ 11 Sauti ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Wewe ni Mwanangu, mpendwa; nimekukubali.”+

  • Luka 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Roho ya Yehova* iko juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta ili niwatangazie maskini habari njema. Alinituma niwatangazie mateka uhuru na vipofu kuona tena, kuwaweka huru waliopondeka,+

  • Yohana 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Yohana pia alitoa ushahidi akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki