10 Mara tu alipotoka katika maji akaona mbingu zikifunguka na roho takatifu ikishuka juu yake kama njiwa.+11 Sauti ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Wewe ni Mwanangu, mpendwa; nimekukubali.”+
18 “Roho ya Yehova* iko juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta ili niwatangazie maskini habari njema. Alinituma niwatangazie mateka uhuru na vipofu kuona tena, kuwaweka huru waliopondeka,+