Mathayo 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo Yesu akatoka Galilaya na kwenda Yordani ili abatizwe na Yohana.+ Luka 3:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu pia akabatizwa.+ Alipokuwa akisali, mbingu zikafunguka,+ 22 roho takatifu ikashuka juu yake ikiwa na umbo kama la njiwa, na sauti ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Wewe ni Mwanangu, mpendwa; nimekukubali.”+
21 Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu pia akabatizwa.+ Alipokuwa akisali, mbingu zikafunguka,+ 22 roho takatifu ikashuka juu yake ikiwa na umbo kama la njiwa, na sauti ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Wewe ni Mwanangu, mpendwa; nimekukubali.”+