2 Samweli 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu.+ Atakapokosea, nitamkaripia kwa fimbo ya wanadamu na kwa viboko vya wana wa binadamu.*+ Marko 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sauti ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Wewe ni Mwanangu, mpendwa; nimekukubali.”+ Luka 9:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisha sauti+ ikasikika katika lile wingu ikisema: “Huyu ni Mwanangu aliyechaguliwa.+ Msikilizeni.”+ 2 Petro 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana alipokea kutoka kwa Mungu Baba heshima na utukufu alipoambiwa maneno kama haya* kwa utukufu wenye fahari: “Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ambaye mimi mwenyewe nimemkubali.”+
14 Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu.+ Atakapokosea, nitamkaripia kwa fimbo ya wanadamu na kwa viboko vya wana wa binadamu.*+
35 Kisha sauti+ ikasikika katika lile wingu ikisema: “Huyu ni Mwanangu aliyechaguliwa.+ Msikilizeni.”+
17 Kwa maana alipokea kutoka kwa Mungu Baba heshima na utukufu alipoambiwa maneno kama haya* kwa utukufu wenye fahari: “Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ambaye mimi mwenyewe nimemkubali.”+