31 Tazama! utapata mimba* na kuzaa mwana+ nawe utamwita Yesu.+32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi,+ na Yehova* Mungu atampa kiti cha ufalme cha Daudi baba yake,+
13 Basi wakachukua matawi ya mitende na kutoka nje kwenda kumlaki, nao wakaanza kusema kwa sauti kubwa: “Tunaomba umwokoe! Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova,*+ Mfalme wa Israeli!”+