Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 1:33, 34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Mfalme akawaambia: “Nendeni na watumishi wangu, mkampandishe Sulemani mwanangu juu ya nyumbu* wangu mwenyewe,+ mteremsheni hadi Gihoni.+ 34 Kuhani Sadoki na nabii Nathani watamtia mafuta+ huko awe mfalme wa Israeli; kisha pigeni pembe na kusema, ‘Mfalme Sulemani na aishi muda mrefu!’+

  • Mathayo 21:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Mwambieni binti ya Sayuni, ‘Tazama! Mfalme wako anakuja kwako,+ naye ni mpole+ na amepanda juu ya punda, naam, juu ya mwanapunda, uzao wa mnyama wa kubeba mizigo.’”+

  • Mathayo 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wakamleta huyo punda na mwanapunda wake, kisha wakatandika juu yao mavazi yao ya nje, naye akayakalia.+

  • Yohana 12:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yesu alipompata mwanapunda, akaketi juu yake,+ kama ilivyoandikwa: 15 “Usiogope binti ya Sayuni. Tazama! Mfalme wako anakuja, akiwa ameketi juu ya mwanapunda.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki