33 Mfalme akawaambia: “Nendeni na watumishi wangu, mkampandishe Sulemani mwanangu juu ya nyumbu* wangu mwenyewe,+ mteremsheni hadi Gihoni.+34 Kuhani Sadoki na nabii Nathani watamtia mafuta+ huko awe mfalme wa Israeli; kisha pigeni pembe na kusema, ‘Mfalme Sulemani na aishi muda mrefu!’+
5 “Mwambieni binti ya Sayuni, ‘Tazama! Mfalme wako anakuja kwako,+ naye ni mpole+ na amepanda juu ya punda, naam, juu ya mwanapunda, uzao wa mnyama wa kubeba mizigo.’”+