Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 1:33, 34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Mfalme akawaambia: “Nendeni na watumishi wangu, mkampandishe Sulemani mwanangu juu ya nyumbu* wangu mwenyewe,+ mteremsheni hadi Gihoni.+ 34 Kuhani Sadoki na nabii Nathani watamtia mafuta+ huko awe mfalme wa Israeli; kisha pigeni pembe na kusema, ‘Mfalme Sulemani na aishi muda mrefu!’+

  • Isaya 62:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tazama! Yehova ametangaza mpaka kwenye miisho ya dunia:

      “Mwambieni binti ya Sayuni,

      ‘Tazama! Wokovu wako unakuja.+

      Tazama! Anakuja na thawabu yake,

      Na malipo anayotoa yako mbele zake.’”+

  • Zekaria 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Shangilia sana, Ee binti ya Sayuni.

      Paza sauti kwa ushindi, Ee binti ya Yerusalemu.

      Tazama! Mfalme wako anakuja kwako.+

      Yeye ni mwadilifu, analeta wokovu,*

      Ni mnyenyekevu+ na amepanda punda,

      Amepanda mwanapunda dume,* mwana wa punda jike.+

  • Mathayo 21:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Mwambieni binti ya Sayuni, ‘Tazama! Mfalme wako anakuja kwako,+ naye ni mpole+ na amepanda juu ya punda, naam, juu ya mwanapunda, uzao wa mnyama wa kubeba mizigo.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki