Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 1:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kisha kuhani Sadoki, nabii Nathani, Benaya+ mwana wa Yehoyada, na Wakerethi na Wapelethi+ wakateremka, nao wakampandisha Sulemani juu ya nyumbu wa Mfalme Daudi,+ wakampeleka Gihoni.+

  • 1 Wafalme 1:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kisha watu wote wakapanda wakimfuata, wakipiga filimbi na kushangilia sana, hivi kwamba dunia ikapasuka na kufunguka kwa sababu ya kelele zao.+

  • Marko 11:7-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wakampelekea Yesu huyo mwanapunda,+ wakatandika mavazi yao ya nje juu yake, naye akaketi juu yake.+ 8 Pia, wengi wakatandaza mavazi yao ya nje barabarani, lakini wengine wakatandaza matawi ya miti waliyokata katika mashamba.+ 9 Watu waliokuwa mbele na wale waliofuata nyuma wakaendelea kupaza sauti: “Tunaomba umwokoe!+ Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova!*+⁠ 10 Umebarikiwa Ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi!+ Tunaomba umwokoe, katika vilele vilivyo juu!” 11 Akaingia Yerusalemu na kwenda hekaluni, akatazama vitu vyote huku na huku, lakini kwa kuwa muda ulikuwa umesonga sana, akaenda Bethania pamoja na wale 12.+

  • Yohana 12:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yesu alipompata mwanapunda, akaketi juu yake,+ kama ilivyoandikwa: 15 “Usiogope binti ya Sayuni. Tazama! Mfalme wako anakuja, akiwa ameketi juu ya mwanapunda.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki