Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 118:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yehova, tuokoe, tafadhali, tunakusihi!

      Yehova, tupe ushindi, tafadhali!

      26 Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova;+

      Tunakubariki kutoka katika nyumba ya Yehova.

  • Mathayo 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Isitoshe umati uliomtangulia na wale waliomfuata waliendelea kupaza sauti: “Tunaomba umwokoe, Mwana wa Daudi!+ Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova!*+ Tunaomba umwokoe, katika vilele vilivyo juu!”+

  • Luka 19:37, 38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Alipokaribia tu barabara ya kushuka Mlima wa Mizeituni umati wote wa wanafunzi ukaanza kushangilia na kumsifu Mungu kwa sauti kubwa kwa sababu ya matendo yote yenye nguvu ambayo walikuwa wameona, 38 na kusema: “Amebarikiwa yule anayekuja akiwa Mfalme katika jina la Yehova!* Amani mbinguni, na utukufu katika vilele vilivyo juu!”+

  • Yohana 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi wakachukua matawi ya mitende na kutoka nje kwenda kumlaki, nao wakaanza kusema kwa sauti kubwa: “Tunaomba umwokoe! Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova,*+ Mfalme wa Israeli!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki