2 Samweli 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Watumishi wake wote walioondoka pamoja naye* na Wakerethi wote na Wapelethi+ wote na Wagathi+ wote, watu 600 waliokuwa wamemfuata kutoka Gathi,+ wakapita mbele yake akiwachunguza.* 1 Mambo ya Nyakati 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Benaya mwana wa Yehoyada aliwasimamia Wakerethi+ na Wapelethi.+ Na wana wa Daudi walikuwa na cheo cha kwanza baada ya mfalme.
18 Watumishi wake wote walioondoka pamoja naye* na Wakerethi wote na Wapelethi+ wote na Wagathi+ wote, watu 600 waliokuwa wamemfuata kutoka Gathi,+ wakapita mbele yake akiwachunguza.*
17 Benaya mwana wa Yehoyada aliwasimamia Wakerethi+ na Wapelethi.+ Na wana wa Daudi walikuwa na cheo cha kwanza baada ya mfalme.