1 Samweli 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sauli alipoambiwa kwamba Daudi alikuwa amekimbia kwenda Gathi, aliacha kumtafuta.+ 1 Mambo ya Nyakati 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wakati fulani baadaye, Daudi aliwashinda Wafilisti na kuwatiisha, akachukua jiji la Gathi+ na miji yake kutoka mikononi mwa Wafilisti.+
18 Wakati fulani baadaye, Daudi aliwashinda Wafilisti na kuwatiisha, akachukua jiji la Gathi+ na miji yake kutoka mikononi mwa Wafilisti.+