Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Ushindi mbalimbali wa Daudi (1-13)

      • Wasimamizi wa Daudi (14-17)

1 Mambo ya Nyakati 18:1

Marejeo

  • +1Sa 5:8; 2Sa 1:20
  • +2Sa 8:1

1 Mambo ya Nyakati 18:2

Marejeo

  • +Hes 24:17; Zb 60:8
  • +2Sa 8:2; 2Fa 3:4

1 Mambo ya Nyakati 18:3

Marejeo

  • +1Fa 11:23
  • +1Sa 14:47; 2Sa 10:6; Zb 60:utangulizi
  • +2Nya 8:3
  • +Mwa 15:18; Kut 23:31; 2Sa 8:3, 4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 11

    “Kila Andiko,” uku. 77

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 11

1 Mambo ya Nyakati 18:4

Marejeo

  • +Zb 20:7
  • +Kum 17:16; Zb 33:17

1 Mambo ya Nyakati 18:5

Marejeo

  • +2Sa 8:5-8

1 Mambo ya Nyakati 18:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wokovu.”

Marejeo

  • +1Nya 17:8

1 Mambo ya Nyakati 18:8

Marejeo

  • +1Fa 7:23
  • +1Fa 7:15, 45

1 Mambo ya Nyakati 18:9

Marejeo

  • +2Sa 8:3
  • +2Sa 8:9-11

1 Mambo ya Nyakati 18:11

Marejeo

  • +Yos 6:19; 2Nya 5:1
  • +1Nya 20:1
  • +2Sa 5:25
  • +1Sa 27:8, 9; 30:18, 20

1 Mambo ya Nyakati 18:12

Marejeo

  • +1Sa 26:6; 2Sa 3:30; 10:10; 20:6; 21:17
  • +1Nya 2:15, 16
  • +2Sa 8:13, 14

1 Mambo ya Nyakati 18:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wokovu.”

Marejeo

  • +Mwa 25:23; 27:40
  • +Zb 18:48; 144:10

1 Mambo ya Nyakati 18:14

Marejeo

  • +1Fa 2:11
  • +2Sa 8:15-18; 23:3, 4; Zb 78:70-72

1 Mambo ya Nyakati 18:15

Marejeo

  • +1Nya 11:6
  • +1Fa 4:3

1 Mambo ya Nyakati 18:17

Marejeo

  • +1Sa 30:14; Sef 2:5
  • +1Fa 1:38

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 18:11Sa 5:8; 2Sa 1:20
1 Nya. 18:12Sa 8:1
1 Nya. 18:2Hes 24:17; Zb 60:8
1 Nya. 18:22Sa 8:2; 2Fa 3:4
1 Nya. 18:31Fa 11:23
1 Nya. 18:31Sa 14:47; 2Sa 10:6; Zb 60:utangulizi
1 Nya. 18:32Nya 8:3
1 Nya. 18:3Mwa 15:18; Kut 23:31; 2Sa 8:3, 4
1 Nya. 18:4Zb 20:7
1 Nya. 18:4Kum 17:16; Zb 33:17
1 Nya. 18:52Sa 8:5-8
1 Nya. 18:61Nya 17:8
1 Nya. 18:81Fa 7:23
1 Nya. 18:81Fa 7:15, 45
1 Nya. 18:92Sa 8:3
1 Nya. 18:92Sa 8:9-11
1 Nya. 18:11Yos 6:19; 2Nya 5:1
1 Nya. 18:111Nya 20:1
1 Nya. 18:112Sa 5:25
1 Nya. 18:111Sa 27:8, 9; 30:18, 20
1 Nya. 18:121Sa 26:6; 2Sa 3:30; 10:10; 20:6; 21:17
1 Nya. 18:121Nya 2:15, 16
1 Nya. 18:122Sa 8:13, 14
1 Nya. 18:13Mwa 25:23; 27:40
1 Nya. 18:13Zb 18:48; 144:10
1 Nya. 18:141Fa 2:11
1 Nya. 18:142Sa 8:15-18; 23:3, 4; Zb 78:70-72
1 Nya. 18:151Nya 11:6
1 Nya. 18:151Fa 4:3
1 Nya. 18:171Sa 30:14; Sef 2:5
1 Nya. 18:171Fa 1:38
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 18:1-17

Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

18 Wakati fulani baadaye, Daudi aliwashinda Wafilisti na kuwatiisha, akachukua jiji la Gathi+ na miji yake kutoka mikononi mwa Wafilisti.+ 2 Kisha akawashinda Wamoabu,+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na kumletea ushuru.+

3 Daudi alimshinda Mfalme Hadadezeri+ wa Soba+ karibu na Hamathi+ alipokuwa akienda kuimarisha mamlaka yake katika eneo la Mto Efrati.+ 4 Daudi akateka magari 1,000 ya vita, wapanda farasi 7,000, na wanajeshi 20,000 wanaotembea kwa miguu.+ Kisha Daudi akawakata farasi wote mishipa ya miguu isipokuwa farasi 100 waliokokota magari.+ 5 Wasiria wa Damasko walipokuja kumsaidia Mfalme Hadadezeri wa Soba, Daudi aliwaua Wasiria 22,000.+ 6 Halafu Daudi akaweka kambi za kijeshi kule Siria ya Damasko, na Wasiria wakawa watumishi wa Daudi na kumletea ushuru. Yehova alimpa Daudi ushindi* popote alipoenda.+ 7 Isitoshe, Daudi alichukua ngao za mviringo za dhahabu kutoka kwa watumishi wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu. 8 Daudi alichukua shaba nyingi sana kutoka Tibhathi na Kuni, majiji ya Hadadezeri. Sulemani aliitumia kutengenezea Bahari ya Shaba,+ nguzo, na vyombo vya shaba.+

9 Mfalme Tou wa Hamathi aliposikia kwamba Daudi alikuwa amelishinda jeshi lote la Mfalme Hadadezeri+ wa Soba,+ 10 mara moja alimtuma Hadoramu mwana wake kwa Mfalme Daudi ili amjulie hali na kumpongeza kwa sababu alikuwa amepigana na Hadadezeri na kumshinda (kwa maana mara nyingi Hadadezeri alimshambulia Tou), na Hadoramu alimletea Daudi kila aina ya vitu vya dhahabu, fedha, na shaba. 11 Mfalme Daudi akavitakasa vitu hivyo ili viwe vya Yehova,+ pamoja na fedha na dhahabu aliyokuwa amechukua kutoka kwa mataifa yote: kutoka kwa Waedomu na Wamoabu, kutoka kwa Waamoni,+ Wafilisti,+ na Waamaleki.+

12 Abishai+ mwana wa Seruya+ aliwaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.+ 13 Aliweka kambi za kijeshi huko Edomu, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi.+ Yehova alimpa Daudi ushindi* popote alipoenda.+ 14 Daudi akaendelea kutawala Israeli yote,+ naye aliwatawala watu wake wote kwa haki na uadilifu.+ 15 Yoabu mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi,+ Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alifanya kazi ya kuweka kumbukumbu, 16 Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Shavsha alikuwa mwandishi. 17 Benaya mwana wa Yehoyada aliwasimamia Wakerethi+ na Wapelethi.+ Na wana wa Daudi walikuwa na cheo cha kwanza baada ya mfalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki