1 Mambo ya Nyakati 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi akaweka kambi za kijeshi katika Edomu, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+
13 Basi akaweka kambi za kijeshi katika Edomu, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+