23 Naye Yehova akamwambia: “Mataifa mawili yamo tumboni mwako,+ na vikundi viwili vya mataifa vitatenganishwa kutoka tumboni mwako;+ na kikundi kimoja cha taifa kitakuwa chenye nguvu kuliko kile kingine,+ na mkubwa atamtumikia mdogo.”+
40 Nawe utaishi kwa upanga wako,+ na kumtumikia ndugu yako.+ Lakini itatokea kwamba, utakapokosa utulivu, wewe hakika utavunja nira yake kutoka shingoni pako.”+