2 Samweli 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akaweka kambi za kijeshi katika Edomu.+ Katika Edomu yote akaweka kambi za kijeshi, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi;+ na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+ Malaki 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nimewapenda ninyi,”+ Yehova amesema. Nanyi mmesema: “Umetupenda kwa njia gani?”+ “Je, Esau hakuwa ndugu ya Yakobo?”+ asema Yehova. “Lakini nilimpenda Yakobo,+ Waroma 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Rebeka aliambiwa: “Mkubwa atakuwa mtumwa wa mdogo.”+
14 Naye akaweka kambi za kijeshi katika Edomu.+ Katika Edomu yote akaweka kambi za kijeshi, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi;+ na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+
2 “Nimewapenda ninyi,”+ Yehova amesema. Nanyi mmesema: “Umetupenda kwa njia gani?”+ “Je, Esau hakuwa ndugu ya Yakobo?”+ asema Yehova. “Lakini nilimpenda Yakobo,+