1 Mambo ya Nyakati 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi akaweka kambi za kijeshi katika Edomu, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+ Zaburi 37:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [ʽAʹyin]Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+ Zaburi 60:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mungu atatuwezesha kupata nguvu,+Na yeye mwenyewe atawakanyagia chini wapinzani wetu.+
13 Basi akaweka kambi za kijeshi katika Edomu, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi.+ Na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+
28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [ʽAʹyin]Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+