2 Samweli 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Uwe na nguvu, ili tujionyeshe kuwa hodari+ kwa ajili ya watu wetu na kwa ajili ya majiji ya Mungu wetu;+ naye Yehova atafanya yaliyo mema machoni pake mwenyewe.”+ Zaburi 18:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mungu wa kweli Ndiye anayenifunga sana mshipi wa nguvu,+Naye ataifanya njia yangu kuwa kamilifu,+ Zaburi 108:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mungu atatuwezesha kupata nguvu,+Na yeye mwenyewe atawakanyagia chini wapinzani wetu.+
12 Uwe na nguvu, ili tujionyeshe kuwa hodari+ kwa ajili ya watu wetu na kwa ajili ya majiji ya Mungu wetu;+ naye Yehova atafanya yaliyo mema machoni pake mwenyewe.”+