Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi Samweli akamwambia maneno hayo yote, wala hakumficha lolote. Ndipo yeye akasema: “Ni Yehova. Na afanye yaliyo mema machoni pake.”+

  • 1 Samweli 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yonathani akamwambia yule mtumishi, mchukua-silaha wake: “Haya njoo, na tuvuke, twende kwenye kituo cha mbele cha wanaume hawa wasiotahiriwa.+ Labda Yehova atatenda kwa ajili yetu, kwa maana hakuna kizuizi chochote kwa Yehova kuokoa kwamba ni kwa wengi au ni kwa wachache.”+

  • 2 Samweli 15:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Lakini akisema, ‘Sikupendezwa nawe,’ basi, mimi hapa, na anifanyie yaliyo mema machoni pake.”+

  • Zaburi 37:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mkabidhi Yehova njia yako,+

      Na kumtegemea,+ naye mwenyewe atatenda.+

  • Zaburi 44:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kupitia wewe tutawasukuma wapinzani wetu;+

      Katika jina lako tutawakanyagia chini wale wanaosimama dhidi yetu.+

  • Methali 29:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kutetemeshwa na wanadamu ndiko huleta mtego,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atalindwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki