Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sasa Yehova akamwambia Gideoni: “Watu ulio nao ni wengi mno nisiweze kuwatia Midiani mkononi mwao.+ Labda Israeli watajivuna+ dhidi yangu, wakisema, ‘Mkono wangu ndio ulioniokoa.’+

  • 2 Wafalme 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini yeye akasema: “Usiogope,+ kwa maana wale walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja nao.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye Asa akaanza kumwita Yehova Mungu+ wake, na kusema: “Ee Yehova, kwa habari ya kusaidia, si kitu kwako kama kuna wengi au wale wasio na nguvu.+ Utusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana sisi tunakuegemea wewe,+ nasi kwa jina lako+ tumekuja kupigana na umati huu. Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu.+ Usiache mwanadamu anayeweza kufa apate nguvu juu yako.”+

  • Zaburi 115:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ninyi mnaomwogopa Yehova, mtegemeeni Yehova;+

      Yeye ndiye msaada wao na ngao yao.+

  • Waebrania 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 ambao kupitia imani walishinda falme katika mapambano,+ wakatenda uadilifu,+ wakapata ahadi,+ wakaziba vinywa vya simba,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki