Waamuzi 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova akamwambia Gideoni, “Watu ulio nao ni wengi sana kwangu mimi kuwatia Wamidiani mikononi mwao.+ Waisraeli wasije wakajigamba mbele zangu wakisema, ‘Mkono wangu mwenyewe uliniokoa.’+ Waamuzi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 7:2 w05 1/15 25 Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:2 The Watchtower,1/15/2005, uku. 25
2 Yehova akamwambia Gideoni, “Watu ulio nao ni wengi sana kwangu mimi kuwatia Wamidiani mikononi mwao.+ Waisraeli wasije wakajigamba mbele zangu wakisema, ‘Mkono wangu mwenyewe uliniokoa.’+