10 Farao alipokaribia, wana wa Israeli wakaanza kuinua macho yao, na tazama, Wamisri walikuwa wakipiga mwendo wakiwafuatilia; na wana wa Israeli wakaogopa sana na kuanza kumlilia Yehova.+
20 Nao wakaja kusaidiwa kupigana nao, hivi kwamba Wahagri na wale wote waliokuwa pamoja nao wakatiwa mkononi mwao, kwa maana walikuwa wameomba msaada+ kutoka kwa Mungu katika vita, naye akakubali kusihiwa awape kibali kwa sababu walimtegemea.+